Reading 101
Jane ni mwanafunzi.Yeye anatoka Marekani.
Anaishi New York
Yeye anasoma Kiswahili.
Yeye anapenda Kiswahili.
Tom ni rafiki wa Jane.
yeye pia anatoka Marekani.
Tom pia anasoma Kiswahili
Tom na Jane ni wanafunzi na wanapenda Kiswahili.
Wao wanakaa Tanaznia sasa.
Wanasoma Kiswahili hili Tanzania
Jane na Tom si Watanzania, wao ni Wamerkani.
Jane na Tom wanasema Kiswahili kidogo tu.
Wao wanasoma Kiswahili sasa.
Bob na Alice wanatoka Tanzania.
Wao wanakaa Dar es Salaam.
Bob na Alice si Wamarekani, Wao ni Watanzania.
Wao wanasema Kiswahili na Kiingereza.
Baba Bob ni Mtanzania. Yeye anatoka Tanzania na anakaa Tazania pia.
23mar21 | admin |